1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.09.2024 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S17 Septemba 2024

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa halmashauri kuu ya Ulaya Ursula von der Leyen ameahidi kumtaja mkuu wa ulinzi kama sehemu muhimu ya timu yake kuu/ Ripoti mpya shirika la kuwasaidia watu wasio na mahala pa kuishi nchini Ujerumani la BAGW imebainisha kuwa, karibu humusi ya watu wasio na makazi ni wenye umri chini ya miaka 25

https://p.dw.com/p/4khS2
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Deutsche Welle Logo
Picha: Marius Becker/dpa/picture alliancePicha: Marius Becker/dpa/picture alliance

Matangazo ya Asubuhi, saa 12:08 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Asubuhi, saa 12:08 (Afrika Mashariki)