1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, Polisi wapewe mafunzo maalumu kukabili maandamano?

Sylvia Mwehozi
21 Agosti 2024

Wakati wa maandamano maafisa polisi hushuhudiwa wakitumia nguvu kupita kiasi. Katika vidio hii Mtaalamu wa usalama wa Kenya Byron Adera anachambua jinsi polisi wanapaswa kuyadhibiti maandamano. #vijanamubashara

https://p.dw.com/p/4jkHj