Vijana wanapata wenza kupitia mitandao ya mahusiano
Mtindo wa maisha
Hawa Bihoga
10 Julai 2024
Mitandao ya kijamii pamoja na mitandao ya kimahusiano ama Dating Apps zinatumiwa na vijana katika kupata wenza wa maisha, lakini wapo baadhi ya watu wanaona hiyo sio njia sahihi ya kumtafuta mwenza wa kuanzisha nae familia ilio bora, kwa hoja kwamba wanaweza kutofautiana kitamaduni na hata kiimani ambao ni msingi wa maisha.