Hali ya usalama nchini Mali bado ni tete baada ya waasi kushambulia chuo kimoja cha mafunzo ya kijeshi mjini Bamako +++Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kampuni ya ugavi wa maji ya kunywa mjini Bukavu, REGIDEZO inasema kwamba inashindwa kusambaza kwa wingi maji ya kunywa kutokana na kukauka kwa kiasi kikubwa kwa vyanzo vya maji.