You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Picha: Zoonar/picture alliance
Picha: Zoonar/picture alliance
Makala zetu
Sikiliza makala kemkem tulizokuandalia
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Ruto atetea rikodi ya uongozi wake wa miaka miwili
Ruto atetea rikodi ya uongozi wake wa miaka miwili
Rais William Ruto wa Kenya ametetea rikodi yake ya miaka miwili madarakani akisema hakuna serikali ya nchi hiyo iliyowahi kuweka mikakati madhubuti ya kuiendeleza Kenya kuliko ile anayoiongoza. Rashid Chilumba alikaa na kiongozi aliekuwa ziarani mjini Berlin, Ujerumani na kujadiliana naye juu ya rekodi hiyo pamoja na mambo mengine.
Changamoto ya watoto wenye mahitaji maalumu Ghana
Changamoto ya watoto wenye mahitaji maalumu Ghana
Watoto wenye matatizo ya mifumo ya fahamu wakati mwingine huonekana kama "wamelaaniwa" nchini Ghana na kutelekezwa.
Familia ya kada wa upinzani aliyeuawa Tanzania yateta
Familia ya kada wa upinzani aliyeuawa Tanzania yateta
Hivi karibuni nchini Tanzania kumekuwa na matukio ya utekaji watu, kujeruhiwa na wakati mwingine kuuawa. Tukio la hivi karibuni linamhusu kada wa upinzani Ali Kibao aliyekutwa amefariki baada ya kutekwa kabla ya umauti. Sudi Mnette amezungumza na mtoto wake na mjane wake bi Amina Kibao kuhusu kifo cha mumewe katika makala ya Kinagaubaga.
Kukatika kwa mawasiliano baina ya marafiki, tatizo ni nini?
Kukatika kwa mawasiliano baina ya marafiki, tatizo ni nini?
Hali ya kupotezeana imekuwa jambo la kawaida hasa baada ya marafiki kuunganishwa kupitia mitandao ya kijamii.
Wanawake na Maendeleo
Wanawake na Maendeleo
Bi. Asawar Mustafa, mwanamke mkimbizi kutoka Sudan anayefanya kazi ya ufundi wa magari nchini Libya amefanikiwa kwa vitendo na kuonesha kwamba mwanamke pia anaweza kuwa fundi gereji hodari na kwamba kazi hiyo si ya wanaume pekee. Makala hii imeandaliwa na Zainab Aziz.
Dhulma dhidi ya waandishi habari Kenya
Dhulma dhidi ya waandishi habari Kenya
Katika makala ya Mbiu ya Mnyonge leo, mwandishi wa DW Musa Naviye anaangazia dhulma walizopitia waandishi wakati wa maandamano ya kuipinga serikali nchini Kenya. Baadhi ya waandishi walipigwa risasi na kupitia madhila mengine mikononi mwa maafisa wa polisi wakati walipokuwa wakifanya kazi yao ya kuuhabarisha umma.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Jaala ya watoto wa kipalestina katika vita vya Gaza
Mbiu ya mnyonge inaangalia jaala ya watoto wa kipalestina mbele ya mashambulizi ya Israel na maana hasaa ya hatua ya Umoja wa Mataifa kuiweka Israel kwenye orodha ya fedheha.
Athari za mafuriko nchini Tanzania
Makala Yetu leo inaangalia athari zilizotokana na mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha mafuriko makubwa Tanzania.
Mfumuko wa bei unavyobadili maisha ya wakazi wa Ulaya
Mfumuko wa bei bado unaendelea kushuhudiwa katika mataifa mengi duniani hususan barani Ulaya. Na hilo ndilo linalojadiliwa katika makala hii ya Mwangaza wa Ulaya.
Maudhui yote (179) kwenye mada hii