1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.09.2024 - Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S20 Septemba 2024

Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen ametangaza mpango wa kuipatia Ukraine mkopo wa dola bilioni 39+++Wanaharakati wa mazingira wamekusanyika hii leo katika miji kadhaa duniani kote kwa maandamano ya Ijumaa ya kushinikiza hatua zaidi za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.

https://p.dw.com/p/4kuwL