1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwangaza wa Ulaya: Nchi za EU zaanzisha ukaguzi wa mipakani

20 Septemba 2024

Umoja wa Ulaya unakabiliana na ongezeko la wahamiaji. Hilo limesababisha baadhi ya nchi wanachama wa umoja huo kuanzisha upya ukaguzi wa mipakani ndani ya eneo la nchi za Jumuiya hiyo maarufu Schengen, ambalo kwa kawaida hutakiwa kuruhusu usafiri bila ukaguzi wa watu na mali zao. Ungana na Bakari Ubena.

https://p.dw.com/p/4ktio