1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
UchumiTanzania

Ni vipi uvuvi na uchakataji dagaa unanawiri Kigoma?

18 Septemba 2024

Uchumi wa buluu husaidia kundi kubwa la wanawake kiuchumi. Nchini Tanzania, licha ya hofu ya mabadiliko ya tabia nchi na majanga yake, wanawake kutoka Kigoma wanapiga hatua kujijenga kiuchumi kutokana mazao ya baharini ikiwemo dagaa.

https://p.dw.com/p/4klPe
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kenia Mombasa Ummi mit Kollegen bei blood festivals
Picha: Fathiya Bayusuf/DWPicha: Fathiya Bayusuf/DW

Kurunzi Wanawake

Vidio ya habari na matukio