1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika katika magazeti ya Ujerumani

13 Septemba 2024

Yaliyozingatiwa kwenye magazeti ya Ujerumani juu ya Afrika wiki hii nji pamoja na msaada wa dola bilioni 1.3 kwa Misri uliotolewa na Marekani bila ya kufungamanishwa na hali ya haki za binadamu. Juu ya mvutano baina ya Somalia na Ethiopia kuhusu maji. Ziara ya Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeir nchini Misri. Mtayarishaji ni Zainab Aziz.

https://p.dw.com/p/4kb8t