You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Tatu Yahaya
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Tatu Yahaya
Taarifa zilizoonesha na Tatu Yahaya
Tanzania: Vitendo vya kikatili dhidi ya wanawake vikomeshwe
Visa vya dhuluma za kijinsia zimekuwa zikiripotiwa mara kwa mara na wakati mwingine wanaharakati wa haki za binadamu wanashinikiza hatua zaidi kwa vitendo vya dhuluma hasa kwa makundi ya wanawake wasichana na watoto. Baadhi ya vijana wanasema malaka hazijafanya vya kutosha kukomesha vitendo hivyo.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Tatu Yahaya
Taarifa na Tatu Yahaya
Mfahamu Dinales, msichana anayetoa elimu ya Tehama
Mfahamu Dinales, msichana anayetoa elimu ya Tehama
Kutokana na idadi ndogo na muamko wa wasichana kujifunza juu ya tehema imekuwa sababu ya Dinales kuwafundisha wasichana wengine juu ya umuhimu wa tehama na matumizi ya teknolojia japo si rahisi kwa jamii kumuelewa lakini matamanio yake makubwa nikuona idadi ya wasichana inaongezeka katika kada hii kadhalika na uelewa mkubwa katika matumizi ya teknolojia.
Msichana anayeelimisha jamii kuhusu ukatili dhidi ya watoto
Msichana anayeelimisha jamii kuhusu ukatili dhidi ya watoto
Kutokana na ongezeko la vitendo vya ukatili, Dolice amemua kutoa elimu ya kujikinga na ukatili kwa watoto hasa shuleni.
Mwandishi kinda wa vitabu vya utalii Tanzania
Mwandishi kinda wa vitabu vya utalii Tanzania
Katika umri wa miaka 9, Queen Florence tayari ameandika vitabu 2 vya kuhamasisha utalii uliojificha nchini Tanzania. Mojawapo ya kitabu chake amekipachika jina la “NCHI YANGU TANZANIA”. Na huyu leo ndio msichana wetu jasiri.
Dorice: Nafurahia kazi yangu ya kuhudumu chumba cha maiti
Dorice: Nafurahia kazi yangu ya kuhudumu chumba cha maiti
Unaweza kujivunia kazi yako kwa kiasi gani? Hebu mtazame Dorice mwanamke anaefanyakazi katika chumba cha kuhifadhi maiti katika hospitali ya rufaa ya Temeke jijini Dar es salaam, anasema fursa zipo wanawake wajitokeze kwenye kada hiyo. Bonyeza utazame.
Mfahamu mlimbwende wa Vyuo Vikuu Tanzania
Mfahamu mlimbwende wa Vyuo Vikuu Tanzania
Latricia ni msichana ambaye amelitwaa taji la ulimbwende kwa vyuo vikuu Tanzania 2024, ambapo safari yake ya kuanza kuzifuata ndoto zake ilianza akiwa na miaka 16, kutokana na taji lake anatarajia kuwa msemaji wa wasichana huku akitarajia kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya urembo ulimwenguni. #msichanajasiri @latricia_ian12
Msichana Jasiri : Mwelimishaji Afya ya Watoto
Msichana Jasiri : Mwelimishaji Afya ya Watoto
Kutana na Maria Mchome, msichana anayewaelimisha wazazi jinsi ya kilinda afya za watoto wao dhidi ya maradhi.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo