You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Picha: DW
Amina Abubakar
Mhariri na mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya DW
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Amina Abubakar
Taarifa zilizoonesha na Amina Abubakar
Burkina Faso yamulikwa kuhusu utekaji nyara wanaharakati
Matukio hayo yameongezeka katika miezi ya hivi karibuni na yamezua hofu kwa raia wa taifa hilo linaloongozwa kijeshi.
Uganda yakanusha shutma za kuiunga mkono M23
Miongoni mwa shutuma kwa Uganda ni kuwaruhusu waasi wa M23 na vikosi vya Rwanda kuitumia ardhi yake kuivamia Kongo
Changamoto mpya kwa wakimbizi wa Sudan nchini Chad
Maelfu ya watu wanaokimbia mapigano nchini Sudan wanakabiliwa na changamoto mpya katika nchi jirani ya Chad.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Amina Abubakar
Taarifa na Amina Abubakar
Makala ya Afrika Wiki Hii
Makala ya Afrika Wiki Hii
Amina Abubakar Mjahid ana mengi katika Makala ya Afrika Wiki Hii, ikiwa ni pamoja na onyo la Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa watu wanaotaka kuyumbisha usalama wa taifa lake, mashambulizi ya kundi la itikadi kali Mali lasababisha mauaji ya wengi mjini Bamako na pande hasimu sudan zasema ziko tayari kwa mazungumzo ya amani.
Jeshi la Israel lashambulia miundombinu ya Hezbollah
Jeshi la Israel lashambulia miundombinu ya Hezbollah
Lebanon yasema shambulizi dhidi ya uhuru na usalama wa taifa hilo ni hatari inayoweza kuutanua mgogoro uliopo sasa.
Misri yasema haitakubalia mabadiliko kwenye mpaka Gaza
Misri yasema haitakubalia mabadiliko kwenye mpaka Gaza
Waziri Blinken alikuwa Cairo kutafuta makubaliano ya kusitisha vita kati ya Israel na Hamas.
Von der Leyen kuizuru Poland kutathmini athari za mafuriko
Von der Leyen kuizuru Poland kutathmini athari za mafuriko
Von der Leyen atalitembelea eneo moja mjini Warsaw kutathimini hali baada ya mafuriko na mvua kubwa kusababisha janga.
Gavi kununua chanjo 500,000 za Mpox kwa ajili ya Afrika
Kumeripotiwa visa 25,000 vya ugonjwa wa Mpox na vifo 723 barani Afrika, zaidi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Mji wa Dresden upo katika tahadhari kuu ya mafuriko
Mji wa Dresden upo katika tahadhari kuu ya mafuriko
Mataifa ya Ulaya Kustini na Kati yamekumbwa na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko na kuharibu miundombinu na kuuwa watu
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo